SEMA NA ARTISTS!

Tuesday, August 10, 2010

Walking down the Mbeya memory lane

Mlima Mbeya, nishapanda sana huo enzi za Primary tulikuwa tukienda picnic.

Mbeya Secondary School, hapo ndio mtu mzima nilipochomoka na divison 1. Hapa ndio Crazy Power mnaemuita Cpwaa siku hizi alipoanza utundu wake. Bahati mbaya ilikuwa jumapili hamna mtu mlinzi akabana nisiingie kupiga picha za ukumbusho.
Kwa watani wetu wa Jadi.




0 comments:

Website counter