SEMA NA ARTISTS!

Tuesday, August 10, 2010

Nane Nane ni sikukuu moja kubwa sana mikoani haswa Mbeya. Hapa jioni nikielekea uwanja wa 8 Nane kupiga show nikakuta umati wa watu ukiingia na kutoka, bahati mbaya kabla hata sijapanda stejini battery ya camera ikakata ringi. Too sad.

0 comments:

Website counter