SEMA NA ARTISTS!

Tuesday, August 10, 2010

Nane 8, Sikukuu ya wakulima - Mbeya

Baada ya kucheki cheki sehemu nitakayopanda baadae na music system, nikaamua kupiga tour kwenye mabanda ya maonyesho. kauli mbiu mwaka huu nane nane ilikuwa " KILIMO KWANZA, MAPINDUZI YA KIJANI, UHAKIKA WA CHAKULA NA KIPATO"


Wazee wa bia, ngano hiyo.





0 comments:

Website counter