SEMA NA ARTISTS!

Friday, August 13, 2010

Mradi wa kijiji cha Wasanii


Katika kutimiza mpango mzima wa KILIMO KWANZA serikali yetu imegawa maeneo maalumu kwa wanachi ili kuyaendeleza. kupitia shirikisho la wasanii Tanzania ( SHIWATA), Serikali imegawa mahekari kibao kwa wasanii, wanamichezo na wadau wa sanaa nchini huko maeneo ya Mkulanga, Visegese DSM bureee!!! ukilima,ukijenga shauri yako!! Personally nampongeza JK kwa hatua hii ya kuzidi kutufikiria wasanii wa TZ.
Hapo nikiwa nishakamata kadi yangu ya wanachama wa SHIWATA pembeni yangu mtangazaji wa Clouds TV na Redio, Zamaradi tukiwa kwenye hatua za mwisho za kupokea hati zetu za viwanja hivyo. Mradi huu ni kwa wasanii woooteee.

0 comments:

Website counter