SEMA NA ARTISTS!

Wednesday, July 28, 2010

Dodoma trip, Congress meeting, Concert and meeting with the President.

On 10th & 11th of July i traveled to Dodoma officially for the ruling party Congress meeting. My job was to make sure the mobile campaigns for fund raising and mass communication were going well from the site of the event to the rest of Tanzania. On the banner is one of the campaign we run.


Dodoma kwa nyama choma tu? Usipimeeeeeee

Mimi, Professor J,Mwana FA na Mwasiti kwenye moja ya posters za kampeni ya kuchangia CCM.


Jahazi Modern taarab wakiwa tayari kutumbuiza kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, Kizota.

@ Work.

Kila kona Dom ilikuwa na mabango ya Mheshimiwa.


Sanamu ya Baba wa Taifa, Mwl. Julikus K. Nyerere kwenye moja ya bustani za Dodoma.

Hii ndio stage iliyotumika pale uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Wasanii tuliokamua tulikuwa Marlow, Fid Q, Mwana FA, Mwasiti, Joh Makini, Cpwaa, Barnaba and Amin, THT, TOT Band, Bushoke, Temba, Chege, Dully Sykes, Tip Top connection and Wanaume TMK.

Baadhi ya wasanii tuliomsindikiza Mh. J. Kikwete kutoa shukrani zake kwa wananchi wa Dodoma baada ya kuchaguliwa tena kugombea Urais 2010.



The next all Artsist were invited by the President for lunch and discussions at Capital City Dodoma, small state house.

State house plates, yes i had my meal on one of those.

The all together photo with Mr. President,First Lady, RC of DOdoma, and the Bongoflava Artists after the historic meeting.

This was my historic moment, when i personally met and exchange hands and few words with our President of united republic of Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

A memorable photo with our lovely, humble First lady. Mama salma Kikwete.



Kisha nikamalizia photo na one of the president's son, Miraji kikwete a very cool dude.

The best photo ever! Hapo ndio tulikuwa tunageuza Dar, kidogo tupite U DOM sema mda ukawa hauruhusu. Tuliingia dar by saa 4 na nusu hivi.

Friday, July 23, 2010

Nairobi trip - Training & Bata sessions

Safari ya Nairobi ilianza kunoga bado tukiwa Mwl. Nyerere international airport. Kama utamaduni ukicheck up, unagambeka politely kusubiri muda wa kuruka. We trip was from 26th - 29th May, 3 days of Hard training and 3 nights of having fun. That's me and my colleague Chia tukiwarm up kidogo.

OH Hell noo!!! where is the ice? Guys we need to do something......is that Kili?

Nairobi Airport.


At last, HillPark Hotel.



The Magic place.


The training facility.

After the training then the together photo, Steve from Nairobi, Paul the trainer from US, Chia and me.

Baadae usiku ilikuwa ni kujiachia tu kwenda mbele.I met one of the best DJs in Nairobi, DJ WESLEY.

Westiii in one the Clubs, Chia my work mate, me and our host Mr. George! We had a good time, asante sana George.

Baada ya mkesho hata hatukulala, ni kushower and off we go.





Taking a snap with a Fan and a friend from Nai, she gave me a nice hospitality at their Barber shop inside HillPark Hotel.



Bad news, tumechelewa checking point so we have to wait for flight ya baadae.Alafu nina show the same day University of DSM na Club Sun Sirro kwenye Jam session usiku, ikabidi kwenda hewani kuongea na wadau kwamba i wont make it for the interview in Dar.


3 hours to wait, what else can you do in Nairobi after your flight has been delayed?




Going back home...Bongoooo!

Thursday, July 22, 2010

Soo Pwaa! Video shooting day 2 @ Eye-View studio

Tarehe 3 - 4 mwezi wa July nilikuwa nashoot video ya nyimbo yangu mpya, Soo Pwaa! After killing day one on different locations, the next day tukamalizia ndani ya Studio niliyorekodia video yangu ya Problem, Eye-View Studios. No so much to share as nilikuwa busy shooting but thanks to Michael MX and Klex for these photos.


Me and Cowbama (Ngwear) tukibadilishana mawazo nje ya studio kabla ya kushoot.

Mapouwdeeer.

I always wanted to work with this lady, NATASHA she is one the popular professional Video models in Bongo, from Shikide to Mkono mmoja juu and this time kwenye Soo Pwaa!


Yeeeah, we are good to go now!





MX, Lamar, Romeo n Lucci.

Romeo,Lamar, Kajala n Klex.

Friday, July 16, 2010

The night i made history: Kilimanjaro Tanzania Music Awards

NBA team, Grizzler's post guard Hasheem Thabeet ( Tanzanian playing in NBA) giving me an award for the Best Music Video 2009. The night my super hit Problem brought me my first music award May 14th 2010.


From left is Lucci ( My Music producer), in the middle it's Odile Kramer ( My Manager) and at right it's me. Taking a photo together immediately after receiving the award.



The Red carpet interview.

Website counter